Familia Yaamua Kumuweka Kitimoto Tunda Kuacha Skendo Chafu mitandaoni

Tangu mwaka umeanza Tunda amekuwa akisifika kwa skendo chafu kila kona katika mtandao ya kijamii, kila mtu anakuwa  anamsema yeye tena hasa baaada ya skendo yae ya kugombana na Aunty Ezekiel na kuvuja kwa picha zilizokuwa zikimuonyesha yupo na ‘sponsor’ mmoja mjini ambae ni mume wa mtu.

Ukiachana na sendo hizo mbili, Tunda amekuwa na skendo za kusema kutokana na tabia ya kuwa na wanaume tofauti tofauti kila siku na kuingia katika mahoteli makubwa makubwa kila leo kwa ajili ya starehe.

download latest music    

Baada ya video zile za siri kuvuja zikimuonyesha yupo na mwanaume mwingine , familia ya mwanadada huyo waliamua kumkalisha chini na kumuonywa kuacha kudhalilisha famila yao na yeye mwenyewe pia.Wazazi wa Tunda walionekana kuchukizwa sana na video hiyo na kusemekana kuwa tunda kwa sasa hayupo sawa na wazazi wake lakini walikaa chini na kumuonya kuhusu hilo.

Akiongea  na kukataa kutajwa jina lake moja ya marafiki wa tunda alieulizwa kuhusu hali ya watu wa karibu wa Tunda , mtu huyo alisema”familia ya Tunda walimuita chini na kumuweka kitimoto na kumsema sana na alihaidi kubadilika kabisa na akawaangukia wazazi wake na kuwaomba msamaha ingawa haikuwa rahisi sana kwake”

tunda alitafutwa na kuulizwa kuhusu swla hilo na ndipo alipothibitisha kuwa ni kweli wazazi wake wameathirika sana na video zile na anaona kabisa kuwa amewakosea.

Nimejifunza sana kwa maana ile video ilinichanganya  sana, wazazi wangu walikasirika sana sana,mpenzi wangu mpaka sasa haongei na mimi ila bado naendelea kumuelewesha  kwamba ile ilikuwa ni pombe tu.Nina imani atakaa sawa tu hasira zikiisha atanitafuta tu kwa sababu  najua ananipenda sana,nimejirekebisha na nimeacha kunywa pombe.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.