Fancy wa Hamisa Amkumbuka Lulu Michael

Mtoto wa Hamisa Mobeto ambae jana ilikuwa ni kumbukumu ya siku yake ya kuzaliwa alionyesha huzuni kwa baaadhi ya mashabiki baada ya video iliyokuwa ikisambaa katika mtandao wa instagram ikimuonyesha mtoto huyo akiwa ameshika simu ya mezani  na kuanza kuigiza kama vile anaongea na  Lulu Michael ambae yeye amezoea kumwita aunty,

Fantacy na Lulu walikuwa na mahusiano mazuri kama ya mama na mtoto kutokana na upendo aliokuwa nao lulu michael kwa mtoto wa hamisa pamoja na kwamba lulu na hamisa  waliwahi kutoka kimapenzi na mwanaume mmoja.

download latest music    

Hata hivyo tangu kipindi cha mwanzo hamisa alishawahi kuthibitisha kuwa mtoto wake huyo alikuwa akimpenda na kumzoe sana aunty yake huyo kiasi kwamba hata yeye alihuzunika sana kwa sababu mtoto wake alikuwa akitumia muda mwingi kukaa na Lulu Michael.

Katika ukurasa wake wa instagram, majizo aliweka post hiyo ya mtoto wake huyo wa kike alizaa na Hamisa kipindi wakiwa bado wapenzi kabla ya kuachana na kuingia katika mahusiano na Lulu na kuandika”birthday girl ameshindwa kuvumilia imebidi aongee na aunty @elizabethlulumichael fake ..we miss you so much angalia mpaka @babyfancy anajiongelesha mwenyewe”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.