Fid Q Afunga Ndoa na Mpenzi Wake Wa Siku Nyingi

Msanii wa muziki wa Hip hop nchini Fid Q amefunga ndoa rasmi na Mpenzi Wake ambaye amezaa naye Mtoto mmoja.

Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q,  amefunga ndoa siku ya jana katika Msikiti wa Qiblatain Boko Jijini Dar es Salaam.

download latest music    

Fid Q alimvisha pete ya uchumba Mpenzi Wake huyo siku chache zilizopita katika mkesha wa mwaka mpya na kufunga naye ndoa siku ya jana mwaka mpya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Fid Q aliandika ujumbe huu Baada ya kumvisha pete Mpenzi Wake:

https://www.instagram.com/p/BsAK-gFD0rU/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=7zc1chke3w3b

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.