Fid Q Ajibu Tuhuma za Muziki Kumkosesha Mafanikio kwa Hili

msanii Fid q ameamua kuwajibu kwa vitendo wale wote ambao walimsema vibaya kwamba hana mafanikio yoyote katika maisha pamoja na kwamba amekuwa akifanya muzki kwa muda mrefu kulinganisha na baadhi ya wasanii.

Fid q anasema kuwa mara nyingi amekuwa hapendi kuweka maisha yake binafsi wazi sana kwa sababu ni maisha yake lakini maneno hayo yalimuumiza sana kiasi kwamba ameona ni bora aweke wazi swala hilo kwa vitendo.

download latest music    

Fid q ambae anasema kuwa watu wamekuwa wakimsema kuwa yeye ni moja ya msanii mwenye ushawishi mkuwa katika muziki lakini hakuna cha maana cha maendeleo anafanya hata kwa maisha yake na ndio maana ameamua kuweka wazi gari yake ya thamani aina ya jeep yenye DJ set ya muziki nyuma.

kuna kitu kiliniumiza sana hasa ale waliosema kuwa mimi ni msanii mkubwa sana katika game na nimekuwa nina influence kubwa sana lakini mnavyosema sina mafanikio haileti maana ,, nieamua kufanya hivyo kuonyesha hii kitu kama kuwasaidia vijana kuwa kumbe hata hii inatija.

Gari hilo la Fid q , ina tahamni ya dola zaidi ya 33,320 ambayo ni zaidi ya milion 76 za kitanzania.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.