Fid Q amshirikisha Diamond Platnumz na Rayvanny kwenye mix ya ‘Fresh’ na mashabiki wadai wamemchana Hamisa Mobetto

Fid Q ambaye ni msanii wa muziki wa hip hip Bongo sasa hivi ameachia remix wa wimbo Fresh ambapo ameliwashirikisha Diamond na Rayvanny.

Katika wimbo huu Diamond Platnumz anasikika akirap na kulingana na mashabiki, mwanamuziki huyu anawachambua Kiba na Hamisa Mobetto kwenye maneno aliyotumia.

download latest music    

Rayvanny naye alipewa nafasi ya kuimba chorus na kama kawaida, msanii huyu aliweza kuipa nyimbo hii fleva.

Isikize nyimbo hii hapa;

 

 

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua