Fid Q , Steve Nyerere Wampa Pole Diamond kwa Ajali ya Sumbawanga.

Wikind hii diamond latinumz alikutana na ajali jukwaani baada ya jukwaa aliliokuwa ameandaliwa kwa ajili ya show yake huko mkoani sumbawanga liliporomoka na kumuangusah na kata majeraha baadhi ya sehemu katika mwili wake.

download latest music    

Kila mtu alilichukulia swala hilo katika uzito tofauti huku wengine wakisema kuwa ni kutokana na sifa ya  mkoa huo kufanya sana mambo ya kishirikiana , lakini mwisho wa siku unaona kuwa kuna vitu utokea kama ajali katika kila sehemu.

Wasanii mbalimbali walimpa pole msanii huyo  akiwepo Fid Q , katika ukurasa wake aliandika “poleni sana wana…siku zote hakuna kazi isyoosa changamoto…’ 

Inaweza kuleta sura mpya kwa mashabiki  kwa sababu hapa karibuni kundi la WCB walikuwa na mgogoro kidogo na Fid q hivyo haikuwa rahisi kuona msanii huyo akiweka mkono wa pole kwa wasanii hawa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.