Filamu kali inayomshirikisha Wema Sepetu, Gabo Zigamba, Millard Ayo kuonyeshwa dunia kote kwa njia ya kisasa

Filamu ya ‘Kisogo’ itakuwa movie ya kwanza kutoka Bongo ambayo itaweza kufika katika anga za kimataifa kwani imetengenezwa katika teknolojia ya kimataifa.

FC Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ ameeliza kuwa ‘Kisogo’ itatazamwa ata kwenye simu ya mkono kupitia App maalum.

download latest music    

“Nilitumia muda mwingi kufanya utafiti na kugundua kuwa wateja wanahitaji kupata kitu ambacho kinaburudisha, kinaelimisha lakini bila mtu kufika Kariakoo aua katika maduka ya kuuzia filamu, sasa tunakuja Mobile App Uhondo,”alisema Gabo.

Wema Sepetu, Millard Ayo, H. Baba ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wameshirikishwa kwa movie hio mpya.

Tazama trailer ya ‘Kisogo’ hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere