Filamu ya Hukumu Bado Ipo Kizuizini
Ile filamu iliyowahi kutangazwa mara nyingi katika mitandao ya kijamii iliyoigizwa na msanii Rammy Galis pamoja na marehemu Agness Masogange bado ipo kizuizini kutoka huku Rammy akisema kuwa sababu kubwa ya kutokutoka kwa filamu hiyo ni mtoto wa marehemu Agness,
rRammy ambae tangu hapo awali alisema kuwa atafanya jitihada zote ili faida za filamu iyo kumfikia mtoto wa marehemu anasema kuwa bado anfatilia jinsi ya kumpa fadhila hiyo mtoto huyo na ndio maana bado haijatoka mpaka sasa.
ni kweli filamu ya hukumu haijatoka mpaka sas richa ya kutangazwa mara nyingi kuwa inatoka , sababu kubwa ya kutotoka kwake ni kwa sababu bado natengeneza mazingira ya kumfanya mtoto wa marehemu aweze kupata haki yake staiki na sio kumzulumu.