Filamu ya Hukumu Bado Ipo Kizuizini

Ile filamu iliyowahi kutangazwa mara nyingi katika mitandao ya kijamii iliyoigizwa na msanii Rammy Galis pamoja na marehemu Agness Masogange bado ipo kizuizini kutoka huku Rammy akisema kuwa sababu kubwa ya kutokutoka kwa filamu hiyo ni mtoto wa marehemu Agness,

rRammy ambae tangu hapo awali alisema kuwa atafanya jitihada zote ili faida za filamu iyo kumfikia mtoto wa marehemu anasema kuwa bado anfatilia jinsi ya kumpa fadhila hiyo mtoto huyo na ndio maana bado haijatoka mpaka sasa.

download latest music    

ni kweli filamu ya hukumu haijatoka mpaka sas richa ya kutangazwa mara nyingi kuwa inatoka , sababu kubwa ya kutotoka kwake ni kwa sababu bado natengeneza mazingira ya kumfanya mtoto wa marehemu aweze kupata  haki yake staiki na sio kumzulumu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.