Flaviana Matata Awatolea Uvivu Wenye Mapenzi ya Kinafiki Kwa Watu Waliokwisha Kufa

Imekuwa ni kama tabia siku hizi kwa baadhi ya watu kuonyesha kuwajali , kuwapenda na kuwakumbuka watu ambao walikwisha kufa wakati kipindi  watu hao wakiwa hai walikuwa hawana hata muda wa kuwaonyesha kuwa wanawapenda.

Flaviana Matata ameguswa na swala hilo na hajanyamaza kuhusu swala hilo hivyo kaamua kuwatolea uvivu na kuonyesha kuwa tabia hiyo inakera  na kuwaambia kuwa watu wakishakufa ndo wanaanza kuwaonyesha kuwa walikuwa wakiwajali wakati walikuwa na muda wa kuwajali hata kabla hawajafa.

download latest music    

mapenzi tunayowapa au kuwaonyesha watu katika page zao wakiwa  wameshatutoka ebu tujaribu kuyaonyesha wakiwa  wakiwa hai bado itapendeza zaidi #justthinkoutloud

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.