For The First Time Tatoo Zetu Zitakuwa na Maana Tofauti:-Casto
Mtangazaji Casto Dickson amefunguka na kuongelea swala la yeye kuchora tatoo ya jina la mpenzi wake huku akiongelea swala mpezni wake huyo pia kuchora tatoo kama yake huku akisema kuwa swala la wao kuchra tatoo lina maana tofauti na zile watu walizozoea kuziona katika mitandao na watu wakiangaika kuzifuta baada ya hapo.
Casto anasema kuwa kufikia hatua yake ya kuchora tatoo kuna maana kubwa tofauti na sio kama watu wanavyodhani,”utamuona akichora kama atachora wala huja haja ya kuangaika kama atachora utamuona,kwa sababu na yeye ana maamuzi yake pia tattoo sio kama pete kwa mba lazima tuwe nazo wote, na sisi tumeanza hivi tuna sababu zetu.”sisi tuna amaana yetu ambayo mtaiona iko tofauti kabisa, for the first time in afrika mtakuja kuona yeah,”
Casto anasema kuwa kwa sasa hajali kuhusu kuachana kwa sababu hata wakiachana hatakuja kufuta tatoo hiyo.