Gigy Money Afunguka Kurudiana na Mo Jay

Mwanadada Gigy money amefunguka na kuongelea swala lake la kurudiana na menzi wake ambae pia ni baba wa  watoto wake mo jay amabe pia ni mtangazaji wa clouds media.

Gigy Money anasema kuwa ni ukwlei kuwa hajawahi kuachana na mume wake huyo kwa sababu kuachana ni maneno tu ambayo yamekuwa yakisemwa katika mitandao ya kijamii.

download latest music    

unajua kuachana huwa ni maneno tu ambayo yanaweza kuwa wat wanaongea lakini hakuna ukweli na ukizingatia kuwa sisi ni wazazi,  kwa maadili yetu yule mototo lazimaatatukutanisha tu.

Ikumbukwe kuwa mwanadada Gigy money aliwahi kusema kuwa alipigwa sana na baba wa watoto wake huyo huku kila mmoja kwa wakatri wake akionekana akiwa na mpenzi mwingine katika mitandao ya kijamii.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.