Gigy Money Amtolea Matusi Mazito Afande Sele

Mwanamuziki wa Bongo fleva Gigy Money anayetamba na wimbo wake wa ‘Papa’ ameibuka na kumtolea matusi ya nguoni Mwanamuziki mkongwe wa Bongo fleva, Afande Sele.

Siku chache zilizopita Afande Sele alifanya mahojiano na kituo cha redio cha East Africa ambapo aliongelea mmomonyoko wa maadili katika mziki wa Bongo fleva na kudai kuna baadhi ya wasanii wapya ambao wanakuja na kuharibu muonekano wote wa mziki wa Bongo fleva.

download latest music    

Afande Sele aliongeza na kudai kuwa Gigy Money hamfahamu kwa sura na wala hajawahi kumuona machoni lakini anasikia kuwa anapenda kuvaa uchi na kufanya vitendo vya ajabu ambavyo vinapelekea mmonyoko wa maadili.

Gigy Money anaonekana hakufurahishwa na maneno yale kwani kea kupitia ukurasa wake wa Instagram alimtolea Afande Sele povu zito;

Wasanii wa Zamani naomba mnipumzishe midomoni mwenu maana kwenye kila interview zenu mnanitaja taja tena mnikomee….Mnafikiri mkinitaja mimi indio interview zenu zitamfikia Trump Marekani? new taarifa yenu mnanipa kiki tu kama hamjui alafu makorodan**  yanawaning’inia au madada nyie? Mnikome kabisaa maana akili zangu sio nzuri ntawaharibia wengine badala ya wakate nywele zao eti wanatoa ushauri mxiuuu embu pelekeni bangi zenu maskani hukoo”.

Afande Sele alidai kuwa nyimbo ya Gigy Money inayojulikana Kama ‘papa’ haina maadili na pia msanii mwingine aliyemtaja Kama anaimba nyimbo zenye mmomonyoko wa maadili ni Zaiid anayetamba na wimbo wak unaoitwa ‘Mwanaume mashine’.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.