Gigy Money Amtolea Povu Zito Zari Adai Sio Type Yake

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Kiki ni Gigy’ amemwaga povu zito akilielekeza dhidi ya Baby mama wa staa wa Bongo fleva Diamond, Zarinah.

Gigy amemrushia maneno makali ya kejeli Zari baada ya Zari kutaka asihusishwe na Gigy siku chache zilizopita.

download latest music    

Sakata zilianza baada ya Zari kuposti picha katika ukurasa wake wa Instagram akiwa anazindua chuo ndipo shabiki mmoja alimtag Gigy baada ya kuona Gigy ametajwa Kwenye page yake Zari alisema ni kama amedhalilishwa kuhusishwa kwa njia yoyote na Gigy Money.

Kwenye mahojiano na Bongo stars, Gigy Money amemwagia povu zito Zari:

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.