Gigy Money Apewa Onyo la Mwsiho , Awekwa Katika Danger Zone.
Serikali kupitia wizara yake ya mambo ya sanaa na wasanii kupitia naibu Waziri Juliana Shonza ametoa onyo la mwisho kwa mwanadada Gigy Money kutokana na tabia yake ya kutumia mtandao vibaya huku akisambaza sana picha za utupu na maneno machafu katika mtandao.
Mh Juliana anasema kuwa serikali yake haitakubali kufumbia macho mambo kama hayo kwa sababu ndio yanayofanya kupotea kwa maadili kabisa tena ukizingatia kuwa wasanii ni watu wanaongaliwa sana kwa sasa na watu mbalimbali.
Huyu Gigy money naona kabisa kuwa bado hajaacha michezo yake michafu katika mitandao ya kijamii,safari hii sidhani kama atapona katika sakata la kukamata .lakini kupona kwake ni pale atakapoamua kubadilika na kuachana na iyo tabia kabisa.
Mh Juliana Shonza amewahasa wake watoto na vijana ambao wamekuwa wakitumia wasanii kama sehemu ya kuiga na kupatia mafunzo yao kuwa kwa sasa serikali inaamua kufuatalia taarifa na tabia ambazo zinawaonyesha wasanii wapo kinyume na maadili natarabitu zao hivyo wasanii kuwa makini katika kuangalia jinsi tamaduni zinazoweza kuendelezwa,