Gigy Money Atoboa Siri ya Aliyeimba I like It Kwenye Jibebe Ya Diamond ni Hamisa.

Kwa muda sasa tangu wimbo wa jibebe umeanza kusikika katika masikio ya watu na mpaka video yake kutoka katika television mbalimbali watu wamekuwa wakijiuliza ni nani aliyeimba wimbo huo na kwamba kwanini hata kwenye vide hajaonekana.

Basi siri imevuja baada ya mwanadada Gigy Money kuamua kutoa siri hiyo kuwa aliyeimba kasauti hako katamu ambako watu wengi wamekuwa wakiipenda na kumuulizia muimbaji kuwa ni Hamisa Mobeto mzazi mwenzie na Diamond.

download latest music    

hamisa na gigy money ni marafiki hivyo kwa asilimia fulani maneno ya Gigy Money yatakuwa na ukweli ndani yake . Gigy Money anasema ” Najua Hamisa anafanya muziki sio kwa biashara ila for funny , ila ile i like it ya jibebe  ameweka yeye , ana sauti nzuri ila siwezi sema kuwa atafika mbali kweye muziki.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.