Gigy Money Azimikia Figa Ya Vanessa Mdee

Msanii wa Bongo fleva Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa anavutiwa sana umbo la msanii mwenzake Vanessa Mdee.

Moja kati ya vitu ambavyo vilitengeneza headlines kuhusu Gigy Money ni kupungua ghafla kwa mwili wake na kuzua tetesi kuwa anaumwa na maneno mengine mengine.

download latest music    

Lakini Kwenye mahojiano na Clouds Fm, Gigy Money amesema hivi sasa anajithidi kupunguza mwili wake ili aweze kutumbuiza vizuri jukwaani kama anavyofanya Vanessa Mdee.

Kuna muonekano wa show tofauti na picha za Instagram mimi sasa hivi ni performer, huwezi kwenda jukwaani una limwili lako tu. Kwa hiyo mtu unatakiwa na mwili fulani hivi”.

Do you look Vanessa akiwa ana-perform, how do you feel unaoana kabisa machachari, anaweza kuwa na bendi, anaweza kuinua mguu, unafurahi, sio mtu shabiki anasubiri utikise makalio tu”.

Siku chache zilizopita Gigy Money alikiri kuwa sababu pekee iliyomfanya mpaka apungue mwili ni mapenzi ambapo alikuwa anaumizwa na penzi la Baba watoto wake Mo J.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.