H.Baba Aongea na Diamond kwa Kilichotokea kwa Mavoko.

Msanii wa muziki wa dansi nchini H.Baba  amefunguka na kelezea mtazamo wake kuhusu kile kinachoendelea kwa sasa kati ya rich mavoko na WCB huku akisema kuwa haiwezekani WCB wakawa wanyonyaji lakini kama kuna kitu chochote pande hizo mbili wanapaswa kukaa chii na kuongea tofauti zao na kuzimaliza.

katika ukurasa wake wa instagra, H.baba aliandika ” Diamond platinumz pole sana , nadhani sasa ni muda wako wa kujifunza maisha na watu na kuzingatia vitu viwili, umakini wako wewe sio kila mwanadamu ana umakini kama wako.kujitambua wewe, kujipambanua na kumheshimu Mungu sio kwa kila mdharau mwiba.

download latest music    

kama kuna tofauti kati yako na mr mavoko ni bora kulimaliza kistaarabu,maana mnajuana kwa muda huo mliokaa pamoja.mimi nimetoka mwanza nimewakuta kwenye game, inagwa siku ya kutoboa huwa ni siri kubwa kutoka  kwa Mungu.

WCb hawana uwezo wa kumnyonya msanii lakini msanii ana uweoz mkubwa sana wa kumnyonya WCB, waangalie kina Mbosso na lava lava utakugundua kuwa WCB wana Utu sana , ni wapambanaji sana na kama kila upambanaji ikienda kwa kasi ya diamond basi mtaomba pooh.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.