Hali ya Mzee Majuto si Shwari, Arudishwa Tena Muhimbili

Hali ya msanii mchekeshaji  maarufu na mkongwe tanzania mzee majuto imeripotiwa kurudi kuwa mbaya hivyo kufanya kurudishwa tena hospitali ya muhimbili siku ya leo.

Mkurugenzi wa mawasiliano katika hospitali ya muhimbili aminiel aligaesha , ndie aliethibitisha taarifa za kupokelwa kwa mzee majuto aktika hospitali.

download latest music    

Hii inakuwa ni mara ya tatu kwa mzee majuto kwenda hospitali lakini mara ya pili kurudishwa akiwa na hali mbaya kutokana na  operation aliyofanyiwa iliyosababisha kupelekwa india kwa ajilia ya matibabu zaidi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.