Hamisa Afunika Kwa Mapokezi Aliyopata Nchini Uganda (picha na video)

Mwanamitindo na muigizaji wa Bongo movie Hamisa Mobetto ambaye pia ni mzazi mwenza wa msanii Diamond Platnumz ameingia nchini Uganda na amepokelewa kama staa wa mbele vile.

Hamisa Mobetto ameingia nchini Uganda Jana mchana kwa ajili ya kuhost au kusherehesha sherehe inayoenda kwa jina la Gal Power Party: Women empowerment itakayofanyika Leo tarehe 21 December.

download latest music    

Latino kinachovutia zaidi party hiyo itafanyika siku moja na wakati mmoja na mke mwenzie au hasimu wake Zari the boss lady ambaye na yeye yupo nchini Uganda kwaajili ya kuhost party yake Zari All White party. Lakini pia kivutio ni kuwa kundi la Rich Gang lililokuwa linaongozwa na Ivan aliyekuwa mume wa Zari limeamua kwenda kwa Hamisa.

Hizi ni baadhi ya picha kuonyesha mapokezi mazito aliyopata Hamisa nchini Uganda Jana:

 

 

 

 

 

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.