Hamisa Atoa Sababu Kubwa ya Kumblock Diamond
Mwanadada Hamisa Mobeto wikiend hii amefunguka na kutoa sababu yake kubwa inayomfanya kuwa anam-block Damond katika kurasa zake za intagram lakini hata ile ya mtoto wake kama ilivyosemakana hapo awali tangu kwa shangazi wa mtoto huyo ambae alipowahi kuulizwa aliongelea swala hilo.
Hamisa ameongea hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Times Fm ambapo alisema kuwa amekuwa akifanya hivyo kwa sababu kuna maswala ambao mtoto wake hayamuhusu kabisa katika gomvi zao lakini mtoto huyo amekuwa akingizwa humo.
Kwenye page ya mtoto sio kumfuata tu lakini hata kum-block pia kwa sababu amekuwa kama hajielewi vile,hata kama we have issues hakuna haja ya kumuingiza mtoto au hata mama yake, unajua kwetu wanasema mstiri mtu aliyekuzaliwa mtoto au kumheshimu yule ambae ni mke wako kwa sababu aibu yako ndio aibu yake.
Hamisa na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume na kumfanya Diamond kutimiza idadi ya watoto watatu,