Hamisa Kulikwaa Penzi la The Game.
Habari izlizosambaa katika mitandao ya kijamii zinadai kuwa hivi karibuni moja ya wasanii wakubwa Duniani The Game amemtumia mrembo Hamisa Mobeto meseji huko DM akimchombeza na kumsifia kwa urembo alionao huku akimkubali sana.
Hata hivyo siri hiyo imevuja baada ya mtu wa karibu wa hamisa kusema kuwa hamisa aliona meseji katika DM yake na kuona kama ni uongo au watu wa kawaida wa kimtandao lakini alipofatilia aligundua kuwa ni akaunt ya kweli kanisa ya msanii huyo.
Hata hivyo Hamisa alipata uoga sana kujibu sms hizo huku akionekana kutokuamini kwa kile anachokiona katika instagra, yake upande wa DM na kupatwa na kigugumizi wa nini cha kujibu.
Hii ni habari njema kwa mashabiki wa mobeto, inawezekana msani huyo akataka kufanya kazi na Hamisa.