Hamisa Mobeto Ajiingiza Katika Muziki, ni kwa Ajili ya Kinamama
Mwanamitindo maarufu nchini Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza ameachia Clip Fupi inayosikika ngoma yake ya Madam Hero kupitia ukurasa wake wa instagram ambayo ni Track Mojawapo Aliyoimba Kwa Ajili ya Foundation yake ya The Mobeto Foundation
Hamisa amesema lengo kubwa la kuachia ngoma hiyo ni iwafikie wanawake wote as An inspirational Song kama nguvu ya kupambana na kutokukata tamaa .
.
Vilevile hamisa amesema pesa ya mauzo atakayoyapata kupitia wimbo huo wa Madam hero itaenda kwa Wakina Mama wote wanaowalea watoto wao kwenye mazingira magumu na kwa wanojifungua katika hali ngumu