Hamisa Mobetto aachia picha mpya kuonesha ujauzito wake

Mrembo wa Tanzania Hamisa Mobetto leo ameachia picha mpya huku akionekana kuonesha ujauzito wake kupitia mtandaoni wake wa Instagram.

Hamisa Mobetto aliambatanisha picha zake kwa kuweka wazi kuwa amemfungulia mtoto anayemtarajia akaunti mpya ya Instagram ambayo ameiweka jina la ‘Tanzanian baby’ na kufikia saa hii imepata followers/mashabiki 4702.

download latest music    

Hata hivyo Hamisa ameweka picha mbili ambazo amevalia nguo nyekundu huku akionekana amekumbatia mimba yake. Tazama picha hizo hapa;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua