Hamisa Mobetto Amefungukia Sababu Inayomfanya Asisherekee Valentines Day

Mwanamitindo na muigizaji wa Bongo movie Hamisa Mobetto amefunguka na kueleza sababu inayompelekea mpaka asiweze kusheherekea siku hii ya Valentine’s Day.

Ikiwa leo ni siku ya Wapendanao duniani ambako inasheherekewa na dunia nzima na watu wote ambapo wanaonyeshana upendo na wapendanao ambapo wanapeana kadi, maua, na Zawadi nyingine nyingi.

download latest music    

Lakini siku ya leo sio nzuri sana kwa baadhi ya watu ambapo mmoja kati ya watu hao ni Hamisa Mobetto ambapo amekiri kuwa hawezi kusheherekea siku ya leo kama watu wengine wengi kwa sababu ni siku ambayo inamkumbusha machungu mengi kwani ni kama siku ya leo ambayo alimpoteza Baba yake mzazi.

Hamisa amekiri kuwa siku ya leo kila mwaka wakati watu wanasherekea na pilika pilika nyingine yeye hawa katika wakati mgumu sana kwani siku za nyuma alikuwa a napenda kusheherekea lakini siku hii iligeuka Chungu baada ya kumpoteza Baba yake mzazi tarehe 14 mwezi wa pili.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.