Hamisa Mobetto Anaumwa Gonjwa Zito, Inadaiwa Kachanganyikiwa

Mwanamitindo na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto anadaiwa kuwa yupo katika kipindi kigumu kwani inasemekana kuwa anaumwa na amechanganyikiwa na kilichomtokea kinahusishwa na imani za kishirikina.

Wiki iliyopita mtandao wa Global Tv uliripoti kuwa umati wa watu ulikusanyika nyumbani anakoishi Hamisa na mama yake Mbezi beach Jogoo, alifunga mtaa baada ya kusemekana kukutwa kwa vitu vinavyohusishwa na imani za kishirikina jambo lilotisha wengi.

download latest music    

Baada ya sakata hilo kutokea majirani waliita vyombo vya habari na kudai kuwa vitu vilivyokuwa vinaonekana viliwatia shaka maana vilikaa kama vifaa vya uchawi si uchawi baadhi ya vitu hivyo vilivyofungwa kwenye kabrasha vilikuwa ni Nazi, ndizi, hirizi dalili zote za mambo ya kishirikina.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram mama mzazi wa Hamisa aliwaomba watu wamuombee mwanaye ambapo aliandika maneno haya kutoka katika kitabu kitakatifu cha Quran na akiwasihi watu wamuombee binti yake:

Good and Evil deeds are not equal, Repel evil with what is better; then you will see that one who was once your enemy has become your dearest friend (Qur’an 41:34) pray for my adorable daughter Hamisa.

Watu mbali mbali wamedai Hamisa anaumwa lakini haumwi malaria au taifodi Bali amedata kabisa na inasemekana mpaka muda huu amepelekwa kwa mashekhe ambao wanamuombea visomo mbali mbali huku mama yake akizidi kuwasihi wait waendelee kumuweka kwenye maombi yao ingawa familia yake haijatoa tamko lolote kutokana na afya yake .

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.