Harmonize am-miss Kimnana wa Diamond

Msanii kutoka katika lebo ya WCB Harmonize,  amefunguka katika ukurasa wake wa instagram na kusema kuwa amekuwa akim-miss sana shemeji yake mpendwa Kimnana ambae kwa sasa amekuwa kimya hata baada ya kuachana na Dimaond platinuz.

Kminana alikuwa na mahusnio na diamond hivyo alikuwa karibu na wasanii wote wa lebo hiyo ukizingatia kuwa diamond ndio Bosi wa Lebo hiyo.

download latest music    

Wawili hao wanatajwa kuwa maadui sasa hasa baada ya kimnana kum-unfollow kabisa diamond kwa chuki ya kuachwa yeye na kutoka na mwanamke mwingine.

katika ukurasa wake, Harmonze alindika ‘……..SHEM LAKE,,SHEM LANGU MIE @officialkimnana  SEMA SIKUONI SIKU HIZI MBILI TAU UKO MJINI ? NAKUMBUKA MARA YA MWISHO ULIKUWA MTWARA,  UKO WAI JAMANI MIE MZALENDO BANA…

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.