Harmonize Athibitisha Kuwa “Singe Boy’

Baada ya kuwa na mikwaruzano na kufikia mwanadada Sarah ambae ndie mpenzi wake na harmonize kuandika katika mitandao ya kijamii huku akitukana kumlenga mwanaume wake Harmonize kuwa amekuwa akimsaliti, mwanamuziki huyo ameweka picha katika ukurasa wake wa instagram akisema kuwa  yeye sasa hivi ni single boy akimaanisha kuwa hana hayuko tena katika mahusiano ya kimapenzi.

Maneno ya Sarah kuhusu kuchepuka na Harmonize yanakuja baada ya mwanamuziki huyo kuwepo nchini Nigeria ambapo inasemekana kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na moja ya watangazaji nchini humo aliyejulikana kwa jina la Nancy.

download latest music    

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.