Harmonize Atoboa Siri ya Video ya Dai na Hamisa Kuvuja
Msanii harmonize amefunguka na kusema kuwa video ndogo iliwahi kuvuja katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha Daimond na Hamisa kuwa wako fargaha akiwa na wanwake wawili tofauti ni sehemu ndogo ya movie inayokuja wakiwa location.
Harmonize amefunguka hayo akiwa katika kituo cha Citizen na kusema kuwa movie hiyo yenye lngo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu unyanyasaji wa wanawake katika ndoa na mahusiano.
Walikuwa wakishuti mobie nayoelezea jinsi wanaume wamekuwa wakidhalisha wanwake katika mahusiano,sasa ili iweze kuleta attentio kwa watu na piaiwe item of bussiness waliona ni bora kumtumia diamond ambae ameshakuwa katika mahusiano mara nyingi na watu tofauti tofauti.
Video hiyo uliyosambaa sana ilizua gumzo lakini pia iliwafanya wasanii hawa kuongelewa mpaka katika bunge na kisha wasanii hawa kuwekwa chini ya ulinzi kwa ajili ya mahojiano lakini walikuonywa na kuomba msamaha kwa jamii.