Harmonize Atoboa Siri ya Video ya Dai na Hamisa Kuvuja

Msanii harmonize amefunguka na kusema kuwa video ndogo iliwahi kuvuja katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha Daimond na Hamisa kuwa wako fargaha akiwa na wanwake wawili tofauti ni sehemu ndogo ya movie inayokuja wakiwa location.

Harmonize amefunguka hayo akiwa katika kituo cha Citizen na kusema kuwa  movie hiyo yenye lngo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu unyanyasaji wa wanawake  katika ndoa na mahusiano.

download latest music    

Walikuwa wakishuti mobie nayoelezea jinsi wanaume wamekuwa wakidhalisha wanwake katika mahusiano,sasa ili iweze kuleta attentio kwa watu na piaiwe item  of bussiness waliona ni bora kumtumia diamond ambae ameshakuwa katika mahusiano mara nyingi na watu tofauti tofauti.

Video hiyo uliyosambaa sana ilizua gumzo lakini pia iliwafanya wasanii hawa kuongelewa mpaka katika bunge na kisha wasanii hawa kuwekwa chini ya ulinzi kwa ajili ya mahojiano lakini walikuonywa na kuomba msamaha kwa jamii.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.