Harmonize Awakumbuka Mashabiki Zake Kenya kwa Shukrani.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka lebo ya WCB Harmonize alimaarufu KondeBoy ametumia siku ya mwaka mpya kuwasifia na kutoa shukurani zake kwa mashabiki zake kutoka Kenya.Mashabiki ambao wamefanya mwaka wake wa 2018 kuwa na mafanikio kutokana na kupendwa sana kwa kazi zake katika nvhi hiyo.

Msanii huyo kutoka Tanzania ameandika hayo kwenye ukurasa wake wa Instagram huku akiwamwagia sifa nyingi mashabiki zake kutoka Kenya na kuandika maneno haya:-

download latest music    

INGAWA MIE NI MTANZANIA NA NUSU….!!! ILA NAJIVUNIA UWEPO WENU NDUGU ZANGU WA KENYA …!!!! I LOVE YOU ?? YOU CHANGED MY LIFE ? FROM TANZANIAN SINGER
TO EAST AFRICAN YOUNG STER
I LOVE YOU FROM MY HEART ❤
TULIIBADIRI TAREHE 31/12/2018
KUWA TAREHE 12/12/2018 NA TUKAIMBA HAPPY BIRHDAY KENYA…!!!! ❤ GOD

BLESS 254?? THANKS ALO NAAMINI 2019 ITAKUWA ZAIDII….!!! EAST AFRICA TO THE ?

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.