Harmonize Kutoa Kikosi B cha List ya Wanaume wa Wolper
Siku chache zimepita tangu Wolper na Harmonize wajibizane na kufikia hatua ya harmonize kutoa list ya wanaume ambao walishawahi kutoka kimapenzi na jackilne ingawa baaada ya hapo Jackline alijibu kuwa list hiyo imekosewa na kuna baadhi ya watu amewacha na wengine amewakosea , lakini kumbe sakata hilo halikuishia hapo tu, sasa hivi Harmonize amewahaidi mashabiki zake tena kuwa list aliyoitoa mara ya kwanza ilikuwa ni kikosi A na sasa anajianda kutoa kikosi B.
Harmonize amemuahidi Wolper kuwa kuanzia sasa hatokaa amwambai Sarah chochote kuhushu meseji ambazo amekuwa akimtumia za kutaka warudiane lakini pia amemshauri sana akwa kama mwanamke ajiheshimu sana.
kuwa mwanamke ni chombo ambacho mungu amekupa na kukutunuku jitahidi sana kukitumia vizuri na sio kukifanya kama kichaka cha kufanyia maovu ukitegemea kuwa mtu atakaa kimya na kutokukujibu eti kisa ataonekna kuwa ni mdhalilishaji.mama yangu pia ni mwana mke lakini hakai hata siku moja akiziongelea familia za watu katika mitandao, mwanamke wangu kaishaitwa mlezi wa wana na mimi nilishaitwa mdangaji utadhani nitaogopa kuitwa mswahili?…. basi fundi cherehani wangu sitomwambai tena sarah kuwa unanisumbua ….wacha niliambie taifa sasa kikosi (B) coming soon….