Harmonize- Wanaume Waaminifu Africa Wanatoka WCB

Msanii wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB, Harmonize amefunguka na kudai kuwa wanaume waaminifu kutoka Africa Mashariki wanatoka WCB.

Kwa mara ya kwanza kauli  kama hiyo ilitolewa na mmoja kati ya mameneja wa WCB, Babu Tale mapema mwaka jana ambapo ilipingwa na watu kadhaa ikiwemo Aunty Ezekiel.

download latest music    

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Kwa Ngwaru’ ameiambia Mambo Mseto, Citizen Radio kuwa kitu hicho ni cha kweli kabisa na uamifu wao umevuka mipaka, sio Bongo tu.

Ni kweli kabisa asilimia mia moja, hamna matukio halafu sisi ndio tunangoza kwa kusalitiwa“.

Kauli hii Inawaacha hoi watu wengi kwa sababu karibia wasanii wote WCB wanakabiliwa na skendo za kuchepuka kuanzia tu na CEO mwenyewe Diamond Platnumz ambaye skendo yake ya kuchepuka na Hamisa wakati yupo na Zari ilitrngeneza headlines.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.