Harmorapa Afatwa Dar kwa Ajili ya Kufunga Ndoa na Mwanamke kutoka mwanza
Msichana aliejulikana kwa jina la khadija ambae hivi karibuni picha zake akiwa na Harmoarapa zilisambaa sana katika mitandao ya kijamii kuwa wana mahusiano ya kimapenzi , amefunga safari kutoka jijini mwanza na kuja dar kwa ajili ya kufunga ndoa na msanii huyo.
Licha ya kuwa Harmorapa amekanusha tetesi za kutembea na mwanadada huyo ambae amechora mpaka tatoo yenye jina la harmorapa , lakini mwanadada huyo anaonekana kuwa na mapezni ya dhati na kuahidi mpaka kumlipia gharaa zote za harusi .
Khadija anasema kuwa amekuja dar kwa ajili ya kufunga ndoa na harmorapa kwa sababu walikutana mwanza na walikubaliana kuwa watafunga ndoa hivi karibuni.
nimekuja kufanya maandalizi ya harusi na baby wangu harmorapa,mara ya kwanza harmorapa alikuja kwenye show mwanza, kwa sasa tuna kama miezi miwili tangu tukutane na ninamlea.
Lkini pia khadija amesema kuwa yuko tayari kugharamia kila kitu kinachohusu harusi kama harmorapa yuko tayari kwa hilo.