Harmorapa Afatwa Dar kwa Ajili ya Kufunga Ndoa na Mwanamke kutoka mwanza

Msichana aliejulikana kwa jina la khadija ambae hivi karibuni picha zake akiwa na Harmoarapa zilisambaa sana katika mitandao ya kijamii kuwa wana mahusiano ya kimapenzi , amefunga safari kutoka  jijini mwanza na kuja dar kwa ajili ya kufunga ndoa na msanii huyo.

Licha ya kuwa Harmorapa amekanusha tetesi za kutembea na mwanadada huyo  ambae amechora mpaka tatoo yenye jina la harmorapa , lakini mwanadada huyo anaonekana kuwa na mapezni ya dhati na kuahidi mpaka kumlipia gharaa zote za harusi .

download latest music    

Khadija anasema kuwa amekuja dar kwa ajili ya kufunga ndoa na harmorapa kwa sababu walikutana  mwanza na walikubaliana kuwa watafunga ndoa hivi karibuni.

nimekuja kufanya maandalizi ya harusi na baby wangu harmorapa,mara ya kwanza harmorapa alikuja kwenye show mwanza, kwa sasa tuna kama miezi miwili tangu tukutane na  ninamlea.

Lkini pia khadija amesema kuwa yuko tayari kugharamia kila kitu kinachohusu harusi kama harmorapa yuko tayari kwa hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.