Harmorapa Aomba Radhi kwa Mashabiki.

Msanii wa muziki Harmorapa ameomba radhi mashabiki zake baada ya kusambaa kwa picha katika mitandao ya kiamii ikimuonyesha yeye akiwa na mwanamke anayesemekana kuwa na mpenzi wake wakiwa kitandani.

Harmorapa anasema kuwa amekuwa akipokea simu nyingi sana zikimhoji kuhusu swala la picha hzio huku akisikia taarifa kuwa TCRA wameona picha hzio na wanampnga wa kumchukulia hatua kali.

download latest music    

Ustaarabu haununuliwi wala sifhani kama kuna chuo kinachotoa kozi ya ustaarabu kwa kweli,na kukaa kwangu kimya isiw sababu ya kutembelea nyota yangu.Naheshimu sana idara ya mawasilianoa nchini,napenda hata siku moja nije nishikane mkonona waziri kama msanii mwenye heshima nchini TANZANIA.

Picha zinazosambaa eti mimi na dada mmoja ambae sina uhakika sana kama namjua ila tulikutana katika kazi ya sana huku mwanza  na kuchukua video na kuposti huo ni ushamba.nsema mimi sio type yako na wala sina muda wala mpango wa kufunga ndoa na wewe.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.