Harmorapa bado amwongelea Wema Sepetu ata baada ya mrembo huyo kumchapa kiboko

Mwezi moja iliyopita, Harmorapa akiongea na Millard Ayo alidai kuwa anampenda sana Wema Sepetu na ata angependa kufunga naye ndoa.

Wema Sepetu alimjibu rapa huyo kwa kumsomea mwanzo hadi mwisho kwenye ujumbe aliyoandika katika Instagram yake.

download latest music    

Soma pia: Mambo matano ya kuvunja moyo Wema Sepetu aliyomweleza Harmorapa kwenye instagram

Kama ulidhani Harmorapa aliskia kichapo alichopewa na Wema, bado. Rapa huyo anayependa kiki aliongelea ishu ya kudai kuwa anampenda Wema Sepetu alipohojiwa kwenye kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM hivi karibuni.

Tazama mahojiano hayo kwenye video hiyo hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere