Harusi ya Mafufu Kuonyeshwa Live Agosti hii.

Harusi ya moja ya waigizaji nguli wa filamu nchini, Jimmy Mafufu inategemewa kuonyeshwa live mwezi huu wa agosti 25 , ikiwa ni ndoa yake ya pili kufungwa na mwanamke huyo baada ya kuachana na mke wake  wa kwanza.

Akiongea na kujibu kwa nini ameamua harusi hiyo kuonyeshwa live katika channeli ya WASAFI  TV, jimmy amesema amefanya hivyo ili kuonyesha kuwa wazi na kwamba yuko tayari kwa maswali yote kutoka kwa waandishi wa habari kuhusu ndoa zake zote mbili hata ile ya kwanza iliyovunjika.

download latest music    

unajua nilipotaka kuoa niliongea na mungu kwa njia ya sala kwaio, na hata sasa siku yangi itakuwa ikionekana hatua kwa hatua kupitia televisheni, na niko tayari kuulizwa kitu chochote kinachohusu ndoa yangu mpya na hata ile ya zamani.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.