Hata Baba Yake Muna Tulimzika kwa Peter:-Wema Sepetu
Mwandada wa sepetu amefunguka na kuzungumzia mkanganyikounaoendelea kati ya familia mbili za wazazi wa patrick ambapo wazazi hao wawili wamekuwa wakigombania maiti ya mtoto aliyefariki hivi karibuni.
akiwa kama rafiki ya muna hapo awali kabla hawajagombna a, wema sepetu anaelezea sababu kubwa iliyomfanya yeye na mama yake kwenda kuhani msiba na kusubiria maiti nyumbani kwa peter mwananyamala na sio mbezi kwa muna kama mama mzazi wa mtoto anavyosema.
alielezea sababu iliyomfanya aonekane katika msiba ni kwaba aliwahi kuishi na patrick kwaio hawezi kuacha kuja kwenye msiba kwa sababu ameishi na mtoto na msiba umemuuma sana.
ki ukweli msiba umeniuma sana kwa sababu patrick ni mdogo na alikuwa akinijua na nimeishi nae muda mrefu but hivyo vingine sijui.
Lakini pia akielezea kuhusu mahali sahihi msiba unapotakiwa kuwepo, Wema anasema kuwa yeye ameamua kuja kwa peter kwa sababu anavyojua yeye misiba ya muna imekuwa ikifanyika pal na hata msiba wa baba yake muna ulifanyika hapo.
mimi sijaongea na Muna chochote kuhusu msiba lakini nimekuja hapa kwa sababu misisba yote tunafanyia hapa , hata msiba wa baba yake muna tulifanyiaga hapa na tulizika hapa kwaio hayo mengine mimi sijajua