Hemed Ajutia Maisha Yake ya Nyuma

Msanii wa muziki na filamu nchini Hemed PHD amekiri kuwa maisha yake aliyokuwa akiishi kipindi cha nyuma yalikuwa hayana mwenendo mzuri na yalikuwa machafu tena hasa katika kipengere cha mahusiano  kwa sababu alikuwa akipenda sana wanawake isivyo kawaida.

Hemed PHD, anasema kuwa amekuwa akiyajutia sana maisha hayo aliyokuwa akiishi kipindi cha nyuma na kwamba anawashauri hata vijana wengine waache kupenda starehe na kufanya maisha ya anasa.Hemed PHD anasema kuwa alikuwa ana uwezo wa kutembea kimapenzi hata na wanawake watano kwa siku moja na wala alikuwa haoni ajabu yoyote.

download latest music    

Sio kitu cha kujivunia kwa sasa hivi kwa sabau ni maisha niliyoyapitia tayari,lakini nisngependa vijana wengine wanaonisikiliza  wayapitie na kuyaishi kama mimi, lakini mzee mimi nilikuwa ninaweza kula hata mashine tano kwa siku.-Alisema Hemed PHD alipokuwa akiongea katika kipindi cha radio moja wapo nchini.

Akiendelea kusimulia , Hemed  PHD, anasema kuwa hakuwahi kuwa na makazi maalum ya kuishi na kuna muda alikuwa naweza kukaa hoteli na ikawa kama nyumba kwa ajili  ya kufanya ufuksa na wanawake tofauti tofauti. ‘sometimes nilikuwa najenga kambi mahotelini kwa ajili ya kufumua tuu.”

Jambo la kusikitisha na kushangaza kwa Hemed  PHDni kwamba hakumbuki na waka hajui kabisa alishajiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na wanawake wangapi ingawa ansema kuwa idadi ni kubwa sana isivyo ya kawaida.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.