Hii ndio sababu mama mzazi wa Young D ajitolea kumlea mjukuu wake

Kuna fununu kuwa aliyekuwa mpenzi na mama ya mtoto wa Young D ameamua kumuacha mtoto wao wa miezi 7 na mama mzazi wa Young D.

download latest music    

Mamisar anasemekana kuwa amemuacha Tamar na mamake Young D baada ya kuondoka ilikujishighulisha na maisha yake. Akizungumza kwenye interview….Mamisar alikiri kuwa maneno haya ni ya Kweli na hata hivyo, mrembo huyu alisema kuwa kwa sasa amerudi kazini na ndio maana aliamua kufanya hivi.

Akizungumza kwenye interview, Mamisar alisema…

Mapenzi hakuna tena kati yangu na Young D, ndiyo maana familia yake iliamua kumchukua Tamar ili kumlea kwani nisingeweza kumlea kwa sababu ninafanya kazi. Nikitaka kwenda kumuona ninakwenda kama kawaida na hata nikitaka kulala huko wiki moja, ninalala.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua