Hivi ndivyo alivyofanya Steve Nyerere baada ya Professor Jay kumpigania Bungeni

Professor Jay alitetea haki ya wasanii wote Bungeni aliposimama kuchangia mapendekezo yake katika bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Mbunge huyo wa Mikumi alisema TRA na mamlaka zingine za serikali zinawanyanyasa wasanii kwa kuwatoza kodi na ada zingine ambazo wasanii hawazi kumudu.

download latest music    

Tazama video hapo chini:

Kufwatia hatua ya Professor Jay kupigania haki za wasanii Bungeni, muigizaji wa filamu za Bongo – Steve amesema aliamua kummiminia sifa mbunge huyo.

“Mwenye akili anaanza kuelewa nalilia nini kwenye sanaa yetu..Sina haja ya kutukanana ni wajinga wanao tukana. Ukweli unadumu kuliko kitu chochote, ukweli huzaa amani..Asante Mhe. Haule kwa kuongea ukweli”. Alisema Steve kupitia ukurasa wake wa instagram

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere