Huddah Adai Hiki Ndio Kinachowatoa Udenda Wanaume Kutoka Kwake

Socialite maarufu kutoka 254 Kenya Huddah Monroe amefunguka na kutaja kitu kinachowadondosha wanaume kutoka Kwenye mwili wake.

Huddah ambaye anajulikana kwa umbo lake matata linaloonekana kuwatega wanaume wengi amefunguka na kudai kitu kinachowavuta wanaume ni tabasamu lake na sio vingine kama wengi wanavyodhani.

download latest music    
Hudah alifunguka hayo Kwenye mahojiano na Wasafi Tv baada ya kuambiwa ataje kifungo chake katika mwili wake ambacho huwa kinawavuta na kuwatoa udenda wanaume wengi:

Which part on my body wanaume wengi wapo attractive is….., I think is my smile”.

Huddah alikuja Tanzania wiki chache zilizopita kwa ajili ya kutokea kwenye shoo ya msanii kutoka Label ya WCB Harmonize.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.