Huddah Monroe Aopoa Njemba La Kiarabu

Socialite maarufu kutoka Kenya Huddah Monroe amefunguka na kudai hivi sasa amefanikiwa kupata mpenzi mpya ambaye ni mwarabu.

Huddah ambaye amejipatia umaarufu kutokana na vituko vyake lakini pia na urembo wake aliweka wazi kuwa kwa sasa yupo Kwenye Mahusiano Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao mmoja wa burudani nchini Kenya, Huddah alisema  kuwa yupo Kwenye Mahusiano na mwanaume Huyo wa kiarabu na anampenda sana.

Hudah aliweka wazi suala hilo baada ya kuandika kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram, kwamba angekuwa nje ya soko kama asingepata mpenzi na kurudi kwenye uhusiano.

Ninashukuru nimepata mpenzi, ambaye tunapendana. Ni Mwarabu na kiukweli ningekuwa nje ya soko kama ningeendelea kuwa mpweke”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.