Hukumu Ya Wema Sepetu Kusomwa Ijumaa

Hukumu ya Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu imesogezwa mbele mpaka mapema wiki hii siku ya Ijumaa ambapo itasomwa Tena.

Wema ameweka wazi kuwa hukumu hiyo iliyotangazwa kutolewa leo imehairishwa kutokana na hakimu kutaka muda zaidi wa kuweza kufanya uchunguzi wa kina.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Wema amefunguka haya kuhusu hukumu yake:

Hakimu kasema kuna vitu ambavyo anatakiwa kuvifanyia uchunguzi zaidi kwa undani hivyo amesema mpaka Ijumaa ndio atatoa hukumu”.

Mwaka jana Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili mnamo tarehe 23 Aprili 2018 walikutwa na kesi ya kujibu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana kukabiliwa na kesi ya kutumia Madawa za kulevya.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.