Hussein Machozi aeleza kwanini yeye huadhibu mtu yeyote amtukanaye kwenye mitandao wa kijamii

Tofauti na Ali Kiba ama ata Diamond ambao wamezoea kutukanwa mitandaoni bila kuchukua hatua yoyote, Hussein Machozi hawezi vumilia mtu akimtukana.

Akiongea alipokuwa kwenye kipindi cha eNewz, Hussein Machozi alisema yeye lazima amtafute mtu yeyote ambaye anamtusi kwenye mitandao ya kijamii.

download latest music    

Staa huyo wa Bongofleva ameeleza kuwa yeye hawezi vumilia kama Ali Kiba na wasanii wengine ambao hawachukui hatua wanapotukanwa kwasababu yeye huumwa sana mtu akimtusi.

Tazama video hapo chini uone Hussein Machozi akieleza kwanini lazima yeye aadhibu yeyote anayemtusi kwenye mtendao wa kijamii:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere