Huyu ndiye mwanaume Huddah anayetamani kumuoa

Socialite mkubwa wa Kenya Huddah Monroe hivi karibuni amefunguka kudai kuwa hatamani kuoleka na mwanaume yoyote kutoka Nigeria.

Mrembo huyu alifunguka kupitia Instagram story yake alidai kuwa kwa sasa amewazoea tabia za wanaume hawa na kwa hivyo hawatamani.

download latest music    

Hata hivyo aliendelea kwa kusema kuwa ingawa kwa sasa bado hajapanga kuoleka…yeye anamtamani Wizkid ingawa pia yeye ni mwanaume kutoka Nigeria.

Aliandika kusema,

“Oh and actually forgot Wizzy was Nigerian. There’s an exception on this marriage thing. I will marry a Nigerian if it’s Wizkid. Baba Nlaaaa.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua