Idris Aanza Kuonyesha Mafanikio Yake Kwa Mwaka 2018

Mchekeshaji maarufu wa bongo Idris Sultan azidi kuonyesha mafanikio yake ikiwa ndio mwaka umeanza hivi karibuni kwa kuonyesha tena deal kubwa alilokuwa amesaini mwishoni mwa mwaka 2018.Mchekesahji huyo ambae  alipost akiwa na nguo ya ndani ya kampuni ya  Calvin Klein ambae ni moja ya kampuni kubwa ya nguo Duniani.

Idris amekuwa ni mmoja wa wasanii waliofanikiwa sana wa mwaka  2017 kutokana na deals nyingi alikuwa amezipata kwa mwaka huo.Mkataba wa Calvin Klein ulisainiwa na Idris kwa ajili ya kutangaza nguo zandani za kampuni hiyo ambayo imekuwa ikitangazwa na wasanii wakubwa  Duniani akiwepo Trey Songz.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram , Idris aliandika kuwa mwaka 2018 umeanza vizuri kwake kuwa hana muda wa kupoteza yupo kwa ajili ya kutengeneza pesa.

 

i know its january  but am just bad like  thatm no time to waste. money monster #mycalvins #calvinkleins #prshoot #2018

Ukiachana na deal ya Calvin Klein, Idris pia anategemea kushoot movie ya Blue Mautitius hivi karibuni na wasanii wengi wakubwa kutoka Marekani.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.