Idris Ajibizana na Jerry Muro Katika Mitandao ya Kijamii
Msanii wa maigizo ya uchekeshaji nchini idris sultan ameingia katika majibizano na aliyekuwa mwanahabari jerry muro baada ya Idris kupost clip iliyokuwa ikisapoti maandamano ya amani yaliyotakiwa kufanyika April 26 na wananchi waliokuwa wakiiipinga serikali.
Idris katika clip hiyo aliwataka watu kuandamna kwa amani na sio vita wala kusababisha kukosekana kwa amni ndipo Jerry Murro nae alipotoa maoni yake kuhusu mawazo hayo ya Idris.
jerry murro
“akili ya big brother hii,sasa nimepata JIBU kwanini ile fedha ilikwisha yote kimiujiza haha haaa“-Aliandika Jery Muro.
@jerrymurroaliyesoma , this is a bogus statement na inadhalilisha elimu ya chuo cha tanzania,kwanza naomba ieleweke kabisa kuwa nimekuwa nikieshimu sana harakati zako, pili no one is perfect so let me school you sasa ingawaje umesoma zaidi yangu ‘democracy is the rule of the people for the people by the people’-Alijibu Idris katika comment ya Jerry Murro.