Idris Amtaka Diamond Kumpigia Magoti Zari

Mjasiriamali na mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultani amabe kila linalotokea siku zote huwa aachi kuaa nalo moyoni ni lazima atatafuta namna ya kuliongelea na mara nyingi zaid uongea kwa utani lakini ujikuta akifikisha ujumbe kwa unaemhusu.

Akijitahidi kukumbushia ahadi ya Diamond siku za nyuma aliposema kuwa hatakaa kuona zari anamwacha hata siku moja na kama itatokea mwanamama huyo akataka kumuacha basi ni lazima atatafuta njia ya kumuomba msamaha na hata kama itakuwa ni kwa kupiga magoti kutoka Tanzania mpka Afrika ya Kusini.

download latest music    

Wobongo ni wanafiki sana utasikia ooh idris siku ile ya white party 2015 alimchomea kwa kumwambia zari kuwa embu  muone jamaa yako anavyokumbatia fans wake , mi nakuambaia hata hiyo mimba uliyobeba sio ya kwake  ni ya demu mwingine kakudanganya.

by the way shem ninaanzisha kilimo cha black roses sijui unataka  shares? mond naomba upige yale magoti  uliotuhaidi, unashindwaje kumganda wakati mganda.

Wakati msanii Diamond anapata skendo ya kuzaa na hamisa mobeto kulitokea pia mgogoro kati ya Diamond na mzazi mwenzie huyo, ambapo Diamond aliweza kutangza katika vyombo vya habari kuwa kama Zari atamuacha basi atatembea kwa magoti kutoka hapa mpka anapoishi huko Afrika ya Kusini.

Zari aliamua kutoa tamo la kuachana na mzazi mwenzie baada ya kusema kuwa amechoshwa na tabia ya kusikia skendo za michepuko ya Diamond kila siku hivyo ni lazima afanye vitu kulingana na status yake aliyonayo katika jamii.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.