Idris Azungumzia kukutana na Wema

Msanii Idris Sultan amefunguka na kusema kuwa tangu  mwanadada wema sepetu  apungue mwili wake na muonekano mpya na hata kufungua duka lake la nguo  bado   hawajaonana kwa muda mrefu na hata muonekano wake huo mpya amekuwa akiuona kwenye  kwenye mitandao tu.

Idris anasema kuwa hawajawahi kukutana lakini amekuwa akimpigia simu na hata kumpongeza kwa sababu ya kufungua duka  la nguo za watoto.

download latest music    

Tangu Wema apungue sijawahi kukutana nae lakini nilimpigia simu kumpongeza kuhusu kufungua duka lake, ila tu kwa sasa kila mmoja amkuwa akifanya mambo yake.

Wawili hao waliwahi kuwa katika mahusiano kwa miaka kama miwili iliyopita, lakini kila mara ema anasema pamoja na kwamba wameshaachana lakini hawezi kumchukia Idris.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.