Ikiwa Mwaka Umepita Tangu Kifo Chake, Zari Bado Anamlilia Ivan

Mwanamama kutoka uganda Zari The Bossy ambae alibahatika kupata watoto wawili na diamond platnumz, wikiendi hii alizua gumzo mitandaoni kutokana na kile alichokiandika kuhusu machungu yake kwa mwanaume wake wa kwanza kabisa ambae wikiendi hii ambapo Ivan anakaribia  kutimiza mwaka mmoja tangu alipofariki mwaka uliopita.

Zari na Ivan walifanikiwa kufunga ndoa na kupata watoto watatu lakini walikuja kuachana na kisha kujiingiza katika mahusiano na Diamond Platinumz, ameonyesha kumlilina ivan kila siku kutokana na maneno yake aliyoyandika siku hiyo.

download latest music    

ni vigumu kuamini kuwa ni takribani mwaka sasa umepita tangu ulipotutoka , naona kama jana,hakuna siku ambayo inapita bila kukuombea  na mama yako.roho yako ziendelee kupumzika kwa amani,hakika siis waja hutoka mbali- Aliandika zari katika ukurasa wake wa instagra,m akiwa ameweka picha ya ivan akiwa amembeba mtoto wao wa kiume kipindi akiwa mdogo.

Ivan alifariki mwaka 2017 may 25 na kwa sasa anakaribia kutimiza mwaka lakini zari anaonekana bado kum-miss na kujali uwepo wake katika kulea familia na kuendesha maisha ya watoto wao.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.