Irene Paul “Hakuna Harusi Inayozidi Ndoa Nzuri”

Mwanadada Irene Paul ambae tangu amefunga ndoa na kupata mtoto amekuwa akijitenga sana na skendo katika mitandao ya kijamii huku akijitaidi sana kuwa akitoa ushauri kwa wasichana wengine kutulia na kujitaidi kuficha maisha yao .

Katika ukurasa wake wa instagram, Irene aliandika caption yenye kutoa ushauri kwa watu wanaotaka kufunga ndoa au waliopo katika ndoa kuhusu swala la kuwa wakiamini sana na kufuata maneno ya marafiki bila kujua kuwa siku ndoa yako itakapo haribika hakuna anayeweza kuinganisha zaidi ya wewe na mwanaume wako, Irene aliandika

download latest music    

tamani kupata ndoa nzuri kuliko harusi nzuri,harusi ni yako na wote wanaokujua na wasiokujua pia , wanakuja na kuondoka katika harusi yako , lakini ndoa ni yako pekee yako na mpenzi wako , hakuna harusi inayozidi ndoa nzuri”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.